2 Yohana 1:9

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Mtu ye yote anayevuka mpaka wa mafundisho ya Kristo, na kuyaacha, huyo hana Mungu. Na mtu anayedumu katika mafundisho ya Kristo, huyo anaye Baba na Mwana pia.
Read full chapter →